Mambo ya Walawi 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwanamume anayefanya ngono na mke wa ndugu ya baba yake amemwaibisha* ndugu ya baba yake.+ Wanapaswa kuadhibiwa kwa sababu ya dhambi yao. Watakufa bila watoto.
20 Mwanamume anayefanya ngono na mke wa ndugu ya baba yake amemwaibisha* ndugu ya baba yake.+ Wanapaswa kuadhibiwa kwa sababu ya dhambi yao. Watakufa bila watoto.