Waroma 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake. 1 Petro 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wapendwa, nawahimiza ninyi kama wageni na wakaaji wa muda+ kwamba mwendelee kujiepusha na tamaa za kimwili,+ ambazo ndizo huendelea kupambana na nafsi.+
12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake.
11 Wapendwa, nawahimiza ninyi kama wageni na wakaaji wa muda+ kwamba mwendelee kujiepusha na tamaa za kimwili,+ ambazo ndizo huendelea kupambana na nafsi.+