Waroma 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wale wanaopatana na mwili hukaza akili zao juu ya mambo ya mwili,+ lakini wale wanaopatana na roho juu ya mambo ya roho.+ Waroma 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana ikiwa mnaishi kupatana na mwili hakika ninyi mtakufa;+ bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.
5 Kwa maana wale wanaopatana na mwili hukaza akili zao juu ya mambo ya mwili,+ lakini wale wanaopatana na roho juu ya mambo ya roho.+
13 kwa maana ikiwa mnaishi kupatana na mwili hakika ninyi mtakufa;+ bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.