9 Kila mtu anayevuka mipaka+ naye hakai+ katika fundisho la Kristo hana Mungu.+ Yeye ambaye anakaa katika fundisho hili ndiye aliye na Baba na Mwana pia.+
9 Niliandikia kutaniko jambo fulani, lakini Diotrefe, anayependa kuwa na mahali pa kwanza+ katikati yao, hapokei+ kwa heshima+ jambo lolote kutoka kwetu.