Methali 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwanangu, ikiwa utapokea maneno yangu+ na kujiwekea amri zangu kama hazina,+ Methali 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi wana, sikilizeni nidhamu ya baba+ na kutega sikio, ili mpate kujua uelewaji.+ Methali 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwanangu, sikiliza hekima yangu.+ Tega sikio usikie utambuzi wangu,+ Luka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na zile zilizo kwenye udongo mzuri, hawa ndio ambao, baada ya kusikia lile neno kwa moyo+ mzuri na mwema, hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+
15 Na zile zilizo kwenye udongo mzuri, hawa ndio ambao, baada ya kusikia lile neno kwa moyo+ mzuri na mwema, hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+