Kumbukumbu la Torati 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka. Zaburi 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Njooni, enyi wana, nisikilizeni;+Nitawafundisha kumwogopa Yehova.+ Methali 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+ wala usiiache sheria ya mama yako.+ Methali 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sikiliza shauri na kukubali nidhamu,+ ili upate kuwa na hekima katika wakati wako ujao.+ Waefeso 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Enyi watoto, watiini wazazi+ wenu katika muungano+ na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu:+
7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka.