7 Geukeni mfunge safari, mwende kwenye eneo lenye milima la Waamori+ na kwa jirani zao wote katika Araba,+ lile eneo lenye milima+ na Shefela na Negebu+ na pwani ya bahari,+ nchi ya Wakanaani,+ na Lebanoni,+ mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati.+
3 na Araba+ hadi bahari ya Kinerethi+ kuelekea mashariki hadi bahari ya Araba, yaani, Bahari ya Chumvi,+ upande wa mashariki kuelekea Beth-yeshimothi,+ na kuelekea kusini chini ya miteremko ya Pisga.+