20 Basi Musa akawaambia watu: “Msiogope, kwa sababu Mungu wa kweli amekuja ili kuwatia ninyi katika jaribu,+ na ili kumwogopa yeye, kuendelee kuwa mbele ya nyuso zenu ili ninyi msije mkatenda dhambi.”+
29 Laiti wangaliusitawisha moyo wao huu uniogope+ na kushika amri zangu zote sikuzote,+ ili mambo yawaendee vema, wao na wana wao mpaka wakati usio na kipimo!+