18 Nawe ufanye yaliyo sawa na yaliyo mema machoni pa Yehova, ili mambo yakuendee vema+ wewe, nawe kwa kweli upate kuingia na kuimiliki ile nchi nzuri ambayo Yehova amewaapia mababu zako,+
18 Kwa maana unapaswa kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kushika amri+ zake zote ambazo ninakuamuru leo, ili kufanya yaliyo sawa machoni pa Yehova Mungu wako.+