Kumbukumbu la Torati 4:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.” Isaya 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Semeni kwamba itakuwa vema kwa mwadilifu,+ kwa maana watakula matunda ya matendo yao.+
40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”