1 Wafalme 8:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 “Abarikiwe Yehova,+ ambaye amewapa watu wake Israeli mahali pa kupumzika kulingana na yote ambayo ameahidi.+ Halikupungua hata neno moja+ kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo ameahidi kupitia Musa mtumishi wake.+ 1 Mambo ya Nyakati 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema: “Yehova, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake pumziko,+ naye atakaa Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.+ Waebrania 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.
56 “Abarikiwe Yehova,+ ambaye amewapa watu wake Israeli mahali pa kupumzika kulingana na yote ambayo ameahidi.+ Halikupungua hata neno moja+ kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo ameahidi kupitia Musa mtumishi wake.+
25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema: “Yehova, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake pumziko,+ naye atakaa Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.+
8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.