Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 “Abarikiwe Yehova,+ ambaye amewapa watu wake Israeli mahali pa kupumzika kulingana na yote ambayo ameahidi.+ Halikupungua hata neno moja+ kati ya ahadi zake zote nzuri ambazo ameahidi kupitia Musa mtumishi wake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema: “Yehova, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake pumziko,+ naye atakaa Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Waebrania 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana kama Yoshua+ angekuwa amewaingiza katika mahali pa pumziko,+ Mungu hangesema+ baadaye juu ya siku nyingine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki