24 Kwa maana nitayafukuzia mbali mataifa toka mbele yako,+ nami nitalipanua eneo lako;+ wala hakuna mtu yeyote atakayeitamani nchi yako wakati utakapokuwa ukienda kuuona uso wa Yehova Mungu wako mara tatu kwa mwaka.+
24 Kila mahali ambapo wayo wa mguu wenu utakanyaga patakuwa penu.+ Mpaka wenu utakuwa kutoka nyikani hadi Lebanoni, kutoka ule Mto, mto Efrati, hadi bahari ya magharibi.+