Kumbukumbu la Torati 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova Mungu wenu atawabariki kama alivyowaahidi, nanyi mtayakopesha mataifa mengi, lakini ninyi hamtahitaji kukopa;+ nanyi mtatawala mataifa mengi, lakini hayatawatawala.+ Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:6 Ufahamu, kur. 122-123
6 Kwa maana Yehova Mungu wenu atawabariki kama alivyowaahidi, nanyi mtayakopesha mataifa mengi, lakini ninyi hamtahitaji kukopa;+ nanyi mtatawala mataifa mengi, lakini hayatawatawala.+