Kutoka 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nitawapa watu hawa kibali machoni pa Wamisri; na hakika itakuwa kwamba mtakapoenda, hamtaenda mikono mitupu.+ Kutoka 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Naye Yehova akawapa watu hao kibali machoni pa Wamisri,+ hivi kwamba hao wakawapa walichoomba;+ nao wakawaacha Wamisri bila chochote.+ Methali 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usiwanyime watu mema wanayostahili,+ mkono wako ukiwa na uwezo wa kuyafanya.+ Wakolosai 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi mabwana, endeleeni kuwapa watumwa wenu yaliyo ya uadilifu na ya haki,+ mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+
21 Nami nitawapa watu hawa kibali machoni pa Wamisri; na hakika itakuwa kwamba mtakapoenda, hamtaenda mikono mitupu.+
36 Naye Yehova akawapa watu hao kibali machoni pa Wamisri,+ hivi kwamba hao wakawapa walichoomba;+ nao wakawaacha Wamisri bila chochote.+
4 Enyi mabwana, endeleeni kuwapa watumwa wenu yaliyo ya uadilifu na ya haki,+ mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+