13 Na Yehova kwa kweli atakuweka kuwa kichwa wala si mkia; nawe utakuwa juu tu,+ wala hutakuwa chini, kwa sababu unaendelea kutii amri+ za Yehova Mungu wako, ambazo ninakuamuru wewe leo ili uzishike na kuzifanya.
24 Kwa maana alikuwa akitawala kila kitu upande huu wa ule Mto,+ kuanzia Tifsa mpaka Gaza,+ naam, wafalme wote upande huu wa ule Mto;+ naye akawa na amani+ katika maeneo yake yote, kuzunguka pande zote.