Mambo ya Walawi 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kitu chochote chenye kasoro hamtakitoa,+ kwa sababu hakitawaletea ninyi kibali. Kumbukumbu la Torati 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na ikiwa atakuwa na kasoro, awe kilema au kipofu, kasoro yoyote mbaya, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+
21 Na ikiwa atakuwa na kasoro, awe kilema au kipofu, kasoro yoyote mbaya, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+