Mambo ya Walawi 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na yeyote atakayegusa mwili wa mtu mwenye mtiririko unaotoka+ atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+ Mambo ya Walawi 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Na ikiwa mwanamke ana mtiririko unaotoka, nao mtiririko wake unaotoka katika mwili wake uwe ni damu,+ ataendelea kwa siku saba kuwa katika uchafu+ wake wa hedhi,+ na yeyote atakayemgusa atakuwa asiye safi mpaka jioni.
7 Na yeyote atakayegusa mwili wa mtu mwenye mtiririko unaotoka+ atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+
19 “‘Na ikiwa mwanamke ana mtiririko unaotoka, nao mtiririko wake unaotoka katika mwili wake uwe ni damu,+ ataendelea kwa siku saba kuwa katika uchafu+ wake wa hedhi,+ na yeyote atakayemgusa atakuwa asiye safi mpaka jioni.