Mambo ya Walawi 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nanyi hampaswi kupokea wanyama wa aina hiyo kutoka kwa mgeni na kuwatoa kuwa dhabihu kwa* Mungu wenu, kwa sababu wana kasoro na ni walemavu. Hawatakubaliwa.’”
25 Nanyi hampaswi kupokea wanyama wa aina hiyo kutoka kwa mgeni na kuwatoa kuwa dhabihu kwa* Mungu wenu, kwa sababu wana kasoro na ni walemavu. Hawatakubaliwa.’”