Mambo ya Walawi 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata hivyo, ikiwa nyama yoyote ya dhabihu yake ya ushirika italiwa katika siku ya tatu, yule anayeitoa hatapata kibali.+ Haitahesabiwa kwake.+ Itakuwa kitu kichafu, nayo nafsi ambayo itakula sehemu yake itajibu kwa kosa lake.+ Mambo ya Walawi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata hivyo, ikiwa kwa vyovyote kitaliwa siku ya tatu, ni kitu kichafu.+ Hakitapokewa kwa kibali.+
18 Hata hivyo, ikiwa nyama yoyote ya dhabihu yake ya ushirika italiwa katika siku ya tatu, yule anayeitoa hatapata kibali.+ Haitahesabiwa kwake.+ Itakuwa kitu kichafu, nayo nafsi ambayo itakula sehemu yake itajibu kwa kosa lake.+