16 Naye atalipa kwa ajili ya dhambi ambayo amepatendea mahali patakatifu naye ataongeza juu yake sehemu yake ya tano,+ naye atampa kuhani, ili kuhani afanye upatanisho+ kwa ajili yake kwa kutumia yule kondoo-dume wa toleo la hatia, naye atasamehewa.+