Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye atalipa kwa ajili ya dhambi ambayo amepatendea mahali patakatifu naye ataongeza juu yake sehemu yake ya tano,+ naye atampa kuhani, ili kuhani afanye upatanisho+ kwa ajili yake kwa kutumia yule kondoo-dume wa toleo la hatia, naye atasamehewa.+

  • Mambo ya Walawi 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 au kitu chochote ambacho huenda akaapa juu yake kwa uwongo, naye atatoa malipo+ kwa ajili yake kwa kiwango chake kamili, naye ataongezea juu yake sehemu yake ya tano. Siku ambayo hatia yake itahakikishwa atampa mwenyewe kitu hicho.

  • Mambo ya Walawi 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Sasa ikiwa mtu atakula kitu kitakatifu bila kukusudia,+ basi ataongeza sehemu yake ya tano+ juu yake naye atampa kuhani hicho kitu kitakatifu.

  • Mambo ya Walawi 27:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini ikiwa mtakasaji wake atalinunua shamba hilo, basi atatoa sehemu ya tano ya pesa ya thamani iliyokadiriwa kwa kuongezea thamani hiyo, nalo litaendelea kuwa lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki