Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ikawa kwamba siku ileile iliyofuata, Musa akawaambia watu: “Ninyi—ninyi mmetenda dhambi kubwa,+ na sasa nitapanda kwenda kwa Yehova. Huenda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”+

  • Mambo ya Walawi 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ikiwa hana uwezo wa kutosha wa kutoa kondoo, basi atachukua njiwa-tetere wawili au hua wachanga wawili,+ mmoja kwa ajili ya toleo la kuteketezwa na yule mwingine kwa ajili ya toleo la dhambi, naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”

  • Hesabu 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili ya kusanyiko lote la wana wa Israeli, nao watasamehewa; kwa sababu lilikuwa kosa ambalo hawakukusudia,+ nao walileta mbele za Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova na toleo lao la dhambi kwa ajili ya kosa lao ambalo hawakukusudia.

  • Waebrania 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo alipaswa kuwa kama “ndugu” zake katika mambo yote,+ ili awe kuhani mkuu mwenye rehema na mwaminifu katika mambo yanayohusiana na Mungu,+ kusudi atoe dhabihu ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi za watu.+

  • 1 Yohana 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki