Mathayo 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+ 1 Wakorintho 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ikiwa tumepanda vitu vya kiroho+ kwenu, je, ni jambo kubwa tukivuna kutoka kwenu vitu vilivyo kwa ajili ya mwili?+ 1 Wakorintho 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliagiza+ kuwa wale wanaotangaza habari njema waishi kwa njia ya habari njema.+ 1 Timotheo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+
10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
11 Ikiwa tumepanda vitu vya kiroho+ kwenu, je, ni jambo kubwa tukivuna kutoka kwenu vitu vilivyo kwa ajili ya mwili?+
14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliagiza+ kuwa wale wanaotangaza habari njema waishi kwa njia ya habari njema.+
18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+