8 Pia, akawaagiza wasichukue kitu chochote kwa ajili ya safari, wala mkate, wala mfuko wa chakula,+ wala pesa za shaba katika mikoba kwenye mishipi yao ila fimbo tu,+
3 naye akawaambia: “Msichukue kitu chochote kwa ajili ya safari, wala fimbo wala mfuko wa chakula, wala mkate wala fedha; wala msiwe na mavazi mawili ya ndani.+
7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+