Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nanyi mtakula vitu hivyo kila mahali, ninyi na nyumba yenu, kwa sababu ni malipo yenu kwa ajili ya utumishi wenu katika hema la mkutano.+

  • Marko 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Pia, akawaagiza wasichukue kitu chochote kwa ajili ya safari, wala mkate, wala mfuko wa chakula,+ wala pesa za shaba katika mikoba kwenye mishipi yao ila fimbo tu,+

  • Luka 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye akawaambia: “Msichukue kitu chochote kwa ajili ya safari, wala fimbo wala mfuko wa chakula, wala mkate wala fedha; wala msiwe na mavazi mawili ya ndani.+

  • Luka 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+

  • 1 Wakorintho 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Vivyo hivyo, pia, Bwana aliagiza+ kuwa wale wanaotangaza habari njema waishi kwa njia ya habari njema.+

  • 1 Timotheo 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki