Mathayo 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+ Marko 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Pia, akawaagiza wasichukue kitu chochote kwa ajili ya safari, wala mkate, wala mfuko wa chakula,+ wala pesa za shaba katika mikoba kwenye mishipi yao ila fimbo tu,+ Luka 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Msichukue mkoba, wala mfuko+ wa chakula, wala viatu, nanyi msimkumbatie+ mtu yeyote mkimsalimu barabarani.
10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
8 Pia, akawaagiza wasichukue kitu chochote kwa ajili ya safari, wala mkate, wala mfuko wa chakula,+ wala pesa za shaba katika mikoba kwenye mishipi yao ila fimbo tu,+
4 Msichukue mkoba, wala mfuko+ wa chakula, wala viatu, nanyi msimkumbatie+ mtu yeyote mkimsalimu barabarani.