2 Wafalme 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mara moja akamwambia Gehazi:+ “Jifunge viuno+ vyako, uchukue fimbo+ yangu mkononi mwako, uende. Ukikutana na yeyote, usimsalimu;+ na yeyote akikusalimu, usimjibu. Nawe uitie fimbo yangu juu ya uso wa huyo mvulana.”+
29 Mara moja akamwambia Gehazi:+ “Jifunge viuno+ vyako, uchukue fimbo+ yangu mkononi mwako, uende. Ukikutana na yeyote, usimsalimu;+ na yeyote akikusalimu, usimjibu. Nawe uitie fimbo yangu juu ya uso wa huyo mvulana.”+