Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili ya ndani, wala viatu wala fimbo; kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+

  • Luka 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+

  • 1 Wakorintho 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali?

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?

  • Wagalatia 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+

  • 1 Timotheo 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki