Waroma 15:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+ Wagalatia 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+ Wafilipi 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Si kwamba ninatafuta hiyo zawadi+ kwa bidii, bali ninatafuta kwa bidii matunda+ yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu yenu.
27 Kweli, wamependezwa kufanya hivyo, na bado walikuwa wadeni kwao; kwa maana ikiwa mataifa wameshiriki mambo yao ya kiroho,+ wao pia wana deni la kuwahudumia hadharani kwa vitu ambavyo ni kwa ajili ya mwili.+
6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa neno kwa mdomo+ na ashiriki+ katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo la mdomo.+
17 Si kwamba ninatafuta hiyo zawadi+ kwa bidii, bali ninatafuta kwa bidii matunda+ yanayoleta faida zaidi kwenye hesabu yenu.