- 
	                        
            
            Kumbukumbu la Torati 18:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        3 “Sasa hii ndiyo haki ambayo makuhani wanastahili kutoka kwa watu: Mtu yeyote anayetoa dhabihu, iwe ni ng’ombe dume au kondoo anapaswa kumpa kuhani mguu wa mbele, mataya, na tumbo. 
 
-