14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+
11 Na Hanania+ akasema mbele ya macho ya watu wote: “Yehova amesema hivi,+ ‘Hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babiloni katika muda wa miaka miwili kamili ili itoke shingoni mwa mataifa yote.’”+ Na Yeremia nabii akaenda zake.+
6 “Wameona maono ya jambo lisilo la kweli na uaguzi wa uwongo,+ wale wanaosema, ‘Neno la Yehova ni,’ wakati ambapo Yehova mwenyewe hajawatuma, nao wamengoja neno litimie.+