Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo akamwambia: “Mimi pia ni nabii kama wewe, na malaika+ alisema nami kwa neno la Yehova hivi, ‘Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako ili ale mkate na anywe maji.’” (Alimdanganya.)+

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe+ za chuma na kusema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Kwa kutumia hizi utawasukuma Wasiria mpaka uwaangamize.’”+

  • Yeremia 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanawaambia tena na tena wale ambao hawaniheshimu, ‘Yehova amesema: “Ninyi mtakuwa na amani.”’+ Nao wamemwambia kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake,+ ‘Hamtapatwa na msiba wowote.’+

  • Yeremia 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana ‘wanawatolea ninyi unabii wa uwongo katika jina langu. Mimi sikuwatuma,’+ asema Yehova.”’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki