18 Hata hivyo, baada ya kukaa siku kadhaa zaidi, Paulo aliwaaga akina ndugu naye akaendelea kusafiri kwenda Siria, na pamoja naye Prisila na Akila, kwa kuwa nywele za kichwa chake zilikuwa zimekatwa+ katika Kenkrea,+ kwa maana alikuwa ameweka nadhiri.