Waroma 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mkaribisheni mtu aliye na udhaifu+ katika imani yake, lakini msifanye maamuzi juu ya maswali ya ndani.+ Waroma 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ingawa hivyo, sisi tulio na nguvu tunapaswa kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+ 2 Wakorintho 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ni nani aliye dhaifu,+ nami si dhaifu? Ni nani amekwazika, nami siwaki hasira?
14 Mkaribisheni mtu aliye na udhaifu+ katika imani yake, lakini msifanye maamuzi juu ya maswali ya ndani.+
15 Ingawa hivyo, sisi tulio na nguvu tunapaswa kuchukua udhaifu wa wale wasio na nguvu,+ na tusiwe tukijipendeza wenyewe.+