Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Bashani—Chanzo Chenye Rutuba
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Mei 1
    • Wakati wa mavuno wafanya kazi walikata ngano iliyosimama kwa mundu uliojikunja kama huu wa chuma unaoonekana juu, usio na mpini wao wa mti. (Kumbukumbu 16:​9, 10; 23:25) Ndipo mabua yalipokusanywa na kupelekwa kwenye sakafu ya kupuria, ambako kitelezeo cha ubao (kilichowekwa mawe chini) kilipitishwa juu yayo ili kuvitokeza wazi viini. (Ruthu 2:​2-7, 23; 3:​3, 6; Isaya 41:15) Unapotazama picha inayohusu jambo hili, iliyopigwa katika Miinuko ya Golani, ungeweza kuifikiria ile sheria ya Mungu yenye kujaa maana: “Ng’ombe apurapo nafaka usimfunge kinywa.”​—⁠Kumbukumbu 25:4; 1 Wakorintho 9:9.

  • Bashani—Chanzo Chenye Rutuba
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Mei 1
    • [Hisani ya Picha katika ukurasa wa 17]

      Pictorial Archive (Near Eastern History) Est |

      Kisehemu cha ndani: Taasisi ya Badè ya chimbuzi wa Vitu vya Kale vya Kibiblia

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki