Matendo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kwa sababu ya kuwa wa kazi ileile akakaa nyumbani kwao, nao wakafanya kazi,+ kwa maana kazi yao ilikuwa ya kutengeneza mahema. 2 Wathesalonike 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 wala hatukula chakula kwa yeyote bure.+ Kinyume cha hilo, kwa kazi ya jasho na kutaabika+ usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+
3 na kwa sababu ya kuwa wa kazi ileile akakaa nyumbani kwao, nao wakafanya kazi,+ kwa maana kazi yao ilikuwa ya kutengeneza mahema.
8 wala hatukula chakula kwa yeyote bure.+ Kinyume cha hilo, kwa kazi ya jasho na kutaabika+ usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama.+