Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 20:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Ninyi wenyewe mnajua kwamba mikono hii imehudumia mahitaji yangu+ na ya wale walio pamoja nami.

  • 1 Wakorintho 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na kufanya kazi ya kutaabika,+ tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia;+

  • 1 Wakorintho 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini mimi sijatumia hata mmoja wa mipango hiyo.+ Kwa kweli, sijaandika mambo haya ili iwe hivyo kuhusiana na mimi, kwa maana ingekuwa vizuri zaidi kwangu nife kuliko—hakuna mtu atakayefanya sababu yangu ya kujisifu+ iwe bure!

  • 1 Wathesalonike 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakika mnakumbuka akilini, akina ndugu, kazi yetu ya jasho na kutaabika. Ilikuwa kwa kufanya kazi+ usiku na mchana, ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ kwamba tuliwahubiria ninyi habari njema ya Mungu.

  • 2 Wathesalonike 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki