Matendo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kwa sababu ya kuwa wa kazi ileile akakaa nyumbani kwao, nao wakafanya kazi,+ kwa maana kazi yao ilikuwa ya kutengeneza mahema. 1 Wakorintho 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na kufanya kazi ya kutaabika,+ tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia;+ 1 Wathesalonike 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hakika mnakumbuka akilini, akina ndugu, kazi yetu ya jasho na kutaabika. Ilikuwa kwa kufanya kazi+ usiku na mchana, ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ kwamba tuliwahubiria ninyi habari njema ya Mungu.
3 na kwa sababu ya kuwa wa kazi ileile akakaa nyumbani kwao, nao wakafanya kazi,+ kwa maana kazi yao ilikuwa ya kutengeneza mahema.
12 na kufanya kazi ya kutaabika,+ tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia;+
9 Hakika mnakumbuka akilini, akina ndugu, kazi yetu ya jasho na kutaabika. Ilikuwa kwa kufanya kazi+ usiku na mchana, ili tusimtwike yeyote kati yenu mzigo wenye gharama,+ kwamba tuliwahubiria ninyi habari njema ya Mungu.