Methali 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+ Methali 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+ Waroma 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Msiwe wavivu katika kazi zenu.+ Wakeni roho.+ Mtumikieni Yehova.+ 1 Timotheo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.
4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+
4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+
8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.