Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+

  • Methali 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+

  • Waroma 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Msiwe wavivu katika kazi zenu.+ Wakeni roho.+ Mtumikieni Yehova.+

  • 1 Timotheo 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki