Methali 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na hakika umaskini wako utakuja kama mnyang’anyi,+ na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.+ Methali 24:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 nao umaskini wako utakuja kama mnyang’anyi wa njia kuu na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+ 2 Wathesalonike 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+
34 nao umaskini wako utakuja kama mnyang’anyi wa njia kuu na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+
10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+