Methali 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+ Methali 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+ Methali 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia, mtu anayejionyesha kuwa mvivu katika kazi yake+—yeye ni ndugu ya mtu anayeleta uharibifu.+ Methali 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+
4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+
4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+
4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+