Methali 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+ Waroma 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Msiwe wavivu katika kazi zenu.+ Wakeni roho.+ Mtumikieni Yehova.+
4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+