Kumbukumbu la Torati 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+ 1 Petro 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;
14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+
2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;