Wafilipi 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ninafuatilia kuelekea ule mradi+ kwa ajili ya tuzo+ la mwito wa Mungu wa kwenda juu+ kwa njia ya Kristo Yesu. Wakolosai 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Msiache mtu yeyote awanyang’anye+ tuzo+ mwenye kupendezwa na unyenyekevu wa kujifanya na namna ya ibada ya malaika, “akichukua msimamo juu ya” mambo ambayo ameona, akijivuna bila sababu inayofaa kutokana na hali yake ya akili ya kimwili,
14 ninafuatilia kuelekea ule mradi+ kwa ajili ya tuzo+ la mwito wa Mungu wa kwenda juu+ kwa njia ya Kristo Yesu.
18 Msiache mtu yeyote awanyang’anye+ tuzo+ mwenye kupendezwa na unyenyekevu wa kujifanya na namna ya ibada ya malaika, “akichukua msimamo juu ya” mambo ambayo ameona, akijivuna bila sababu inayofaa kutokana na hali yake ya akili ya kimwili,