9 Nami nilisema: “Sitamtaja tena, wala sitasema tena katika jina lake.”+ Na moyoni mwangu hali hiyo ikawa kama moto unaowaka ambao umefungiwa ndani ya mifupa yangu; nami nikachoka kujizuia, nami sikuweza kuivumilia.+
10 Ndivyo na ninyi, pia, wakati mmefanya mambo yote mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi ni watumwa wasiofaa kitu.+ Jambo ambalo tumefanya ndilo tulilopaswa kufanya.’ ”