Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Je, Mweza-Yote anapendezwa kwa vyovyote kwa kuwa wewe ni mwadilifu,+

      Au, kupata faida yoyote kwa kuwa wewe unafanya njia yako isiwe na lawama?+

  • Zaburi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nimemwambia Yehova: “Wewe ni Yehova; wema wangu si kwa ajili yako,+

  • Waroma 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Watu wote wamepotoka, wote pamoja wamekuwa wasiofaa kitu; hakuna yeyote anayetenda fadhili, hakuna hata mmoja.”+

  • Waroma 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Au, “Ni nani amempa yeye kwanza, hivi kwamba iwe lazima arudishiwe?”+

  • 1 Wakorintho 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ikiwa, sasa, ninatangaza habari njema,+ hiyo si sababu ya mimi kujisifu, kwa maana nimewekewa sharti.+ Kwa kweli, ole+ wangu mimi ikiwa sitangazi habari njema!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki