34 Kwa hiyo akamkaribia akayafunga majeraha yake, na kumwaga mafuta na divai juu yake.+ Kisha akampandisha juu ya mnyama wake mwenyewe akamleta kwenye nyumba ya wageni na kumtunza.
8 Vivyo hivyo watumishi wa huduma+ wanapaswa kuwa wenye kuchukua mambo kwa uzito, si wenye ndimi mbili, si wenye kunywa divai nyingi, si wenye pupa ya pato lisilo la haki,+