13 Basi hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli naye akawafanya watange-tange nyikani miaka 40,+ mpaka kizazi chote kilichokuwa kikifanya uovu machoni pa Yehova kikafikia mwisho wake.+
38 Naye Haruni kuhani akapanda katika Mlima Hori kwa agizo la Yehova, akafa huko katika mwaka wa 40 tangu wana wa Israeli walipotoka katika nchi ya Misri, katika mwezi wa 5, siku ya kwanza ya mwezi huo.+