Kutoka 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika mwezi wa tatu baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ siku hiyo hiyo, wakaingia katika nyika ya Sinai.+ Hesabu 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sasa ikawa kwamba katika mwaka wa pili, katika mwezi wa pili, siku ya 20 katika mwezi huo,+ lile wingu likainuka kutoka juu ya maskani+ ya Ushuhuda. Hesabu 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wana wa Israeli wakaanza kuondoka katika namna ya kuondoka+ kwao kutoka katika nyika ya Sinai, nalo wingu likakaa katika nyika ya Parani.+
19 Katika mwezi wa tatu baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri,+ siku hiyo hiyo, wakaingia katika nyika ya Sinai.+
11 Sasa ikawa kwamba katika mwaka wa pili, katika mwezi wa pili, siku ya 20 katika mwezi huo,+ lile wingu likainuka kutoka juu ya maskani+ ya Ushuhuda.
12 Nao wana wa Israeli wakaanza kuondoka katika namna ya kuondoka+ kwao kutoka katika nyika ya Sinai, nalo wingu likakaa katika nyika ya Parani.+