Kutoka 40:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na wakati ambapo wingu hilo lilikuwa likiinuka kutoka juu ya maskani wana wa Israeli walikuwa wakivunja kambi katika hatua zao zote za safari.+ Hesabu 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Yuda ni 186,400 kwa majeshi yao. Wanapaswa kuondoka kwanza.+ Hesabu 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Rubeni ni 151,450 kwa majeshi yao, nao wanapaswa kuondoka wakiwa wa pili.+ Hesabu 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Hema la mkutano+ litakapoondoka, kambi ya Walawi+ itakuwa katikati ya kambi hizo. “Kama vile watakavyopiga kambi, ndivyo watakavyoondoka,+ kila mmoja mahali pake, kulingana na mgawanyo wao wa makabila matatu. Hesabu 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Efraimu ni 108,100 kwa majeshi yao, nao wanapaswa kuondoka wakiwa wa tatu.+ Hesabu 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Dani ni 157,600. Wanapaswa kuondoka wakiwa wa mwisho+—kulingana na mgawanyo wao wa makabila matatu.”
36 Na wakati ambapo wingu hilo lilikuwa likiinuka kutoka juu ya maskani wana wa Israeli walikuwa wakivunja kambi katika hatua zao zote za safari.+
9 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Yuda ni 186,400 kwa majeshi yao. Wanapaswa kuondoka kwanza.+
16 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Rubeni ni 151,450 kwa majeshi yao, nao wanapaswa kuondoka wakiwa wa pili.+
17 “Hema la mkutano+ litakapoondoka, kambi ya Walawi+ itakuwa katikati ya kambi hizo. “Kama vile watakavyopiga kambi, ndivyo watakavyoondoka,+ kila mmoja mahali pake, kulingana na mgawanyo wao wa makabila matatu.
24 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Efraimu ni 108,100 kwa majeshi yao, nao wanapaswa kuondoka wakiwa wa tatu.+
31 “Watu wote walioandikishwa wa kambi ya Dani ni 157,600. Wanapaswa kuondoka wakiwa wa mwisho+—kulingana na mgawanyo wao wa makabila matatu.”