Mwanzo 21:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akakaa katika nyika ya Parani,+ na mama yake akamchukulia mke kutoka nchi ya Misri. Hesabu 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha watu wakaondoka Haserothi+ na kupiga kambi katika nyika ya Parani.+ Hesabu 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi. Kumbukumbu la Torati 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mwendo wa siku kumi na moja kutoka Horebu kupitia njia ya Mlima Seiri mpaka Kadesh-barnea.+
26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi.