Hesabu 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na wakati wowote wingu hilo lilipoinuka kutoka juu ya hema, wana wa Israeli walikuwa wakiondoka mara moja baada yake,+ na mahali ambapo wingu hilo lilikuwa likikaa, hapo ndipo wana wa Israeli walipokuwa wakipiga kambi.+ Zaburi 78:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaendelea kuwaongoza kwa wingu wakati wa mchana+Na usiku kucha kwa nuru ya moto.+
17 Na wakati wowote wingu hilo lilipoinuka kutoka juu ya hema, wana wa Israeli walikuwa wakiondoka mara moja baada yake,+ na mahali ambapo wingu hilo lilikuwa likikaa, hapo ndipo wana wa Israeli walipokuwa wakipiga kambi.+